YANGA YATOKA KIFUA MBELE DHIDI YA AZAM FC KWA GOLI 1-0

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia bao la kwanza na la ushindi lililofungwa na Haaruna Niyonzima kipindi chwa kwanza wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

Wakimpongeza Haruna Niyonzima kwa kuwapatia bao la Ushindi
Kikosi cha timu ya Yanga
Haruna Niyonzima akijaribu kumtoka beki wa Azam Khamis Mcha
Mashabiki na mambo yao kama unavyoona
Baadhi ya Umati wa mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano la Yanga na Azam
Wachezaji wa Azam wakimlalamikia Mwamuzi mara baada ya mpira kumalizika
Washabiki wakifurahia ushindi wa Yanga
Waamuzi wakisindikizwa kutoka Uwanjani na jeshi la Polisi mara baada ya mchezo kumalizikia
Post a Comment