ad

ad

GENERALI JUMA MKAMBI AZIKWA KISUTU

Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakipokezana mwili wa marehemu Generali Juma Mkambi wakati wa mazishi yaliyofanyika Kisutu Dar es Salaam
Rais wa TFF,Leodga Tenga akizungumza na waandishi wa habari
Rais Tennga (katikati) na Katibu Mkuu wa timu ya Yanga , Lawrence Mwalusako Kulia
Katibu wa chama cha Pool Taifa , Amos Kafwinga akizungumza na wandishi wa habari mara baada ya kurejea jijini kutoka Ufaransa kwenye mashindano ya Pool ya Dunia

Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (kulia) akiteta jambo na Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM na Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Rajab Mwilima, wakati wa hafla ya kuapishwa Waziri mkuu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma hivi karibuni