ad

ad

TAMASHA LA BIASHARA LA WANAWAKE WAJASILIAMALI JIJINI DAR.

Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Joyce Mapunjo (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa Programu za Wanawake wa Benki ya Exim, Felister Simba wakati wa Tamasha la Biashara la Wanawake Wajasiliamali lililoanza jana Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Joyce Mapunjo (kushoto) akizungumza na waandioshi wa habari kuhusu Ubora wa Benki ya Exim inavyomjali Mwanamke ikiwa ni mmoja wa wateja wa Benki hiyo wakati wa wa Tamasha la Biashara la Wanawake Wajasiliamali lililoanza jana Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.Kulia ni Meneja wa Programu za Wanawake wa Benki ya Exim, Felister Simba

No comments