ad

ad

YANGA YAICHAPA PRISONS YA MBEYA 2-1 UWANJA WA TAIFA.

 Wachezaji wa timu ya Yanga , Gelson Santana- Jaja (kulia) akimpongeza Simon Msuva baada ya kuipatia timu ya Yanga bao la pili na ushindi dhidi ya Prisons ya Mbeya  wakati wa meche ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa Uwanja wa Taiifa Dar es Salaam.Yanga ilishinda 2-1 
 Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Andrey Cotinho akitamba mara baada ya kupatia timu yake bao la kwanza  dhidi ya Prisons ya Mbeya wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.Yanga ilishinda 2-1.
 Jaja akijaribu kumtoka beki wa Prison
 Kkiungo Haruna Niyonzima akiwatoka mabeki wa Prison ya Mbeya
 Haruna akiwatoka
 Mabeki wakijitahidi kumdhibiti
 Niyonzima anakwenda
 Niyonzimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 Msuva akishangilia boa la pili alilofunga
 Akishangilia
 Jaja Jaja
 Jaja anapiga cross
 Jaja anaangushwa chini
 Mwisho wa matokeo
 Msuva akijaribu kumtoka beki

No comments