ad

ad

FEDHA YATOA ZAWADI YA SIKU KUU YA IDD KWA WAKAZI WA JIJINI DAR ES SALAAM.

Wawakilishi wa wafanyakzi wa Fedha High School wakiwasili New Habari Sinza Dar es Salaam.
Wakitambulishana na wenyeji
Wakitelemsha zawadi ya Nyam kwa ajili ya Siku Kuu ya IDD
Wakitelemsha
Mifuko kibao
Mwakilishi wa Wafanyakazi wa Shule ya Sekondari ya Fedha, Yovuz Yiloiz akimkabidhi zawadi ya Nyama Mkuu wa kitengo cha Usambazaji wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Ben Mhina kwa niaba ya wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa ajili ya Siku Kuu ya Idd inayoadhimishwa leo na Waislamu Duniani kote
Wakipeana mikono
Mmoja wa Wafanyakazi, Hamisi Nkotya (kulia) akishukuru
Akishukuru

No comments