ad

ad

RAIS WA KAMPUNI YA RBP-OIL NA TEKINOLOJIA YA VIWANDA ATOA MSAADA WA MILIONI TANO KWA KWAYA YA WATOTO YATIMA

Rais wa ‘RPB Oil Industrial Technology Tanzania Limited, Rahma Al-Kharoosi akimkabidhi msaada wa Shilingi Milioni nne mratibu wa Bonanza la Watoto Yatima, Osman Kazi linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki kwenye Viwanja vya Leaders lililoandaliwa na Popular Sports and Entertainment Tanzania kusherehekea siku Kuu ya Idd.
Rais wa ‘RPB Oil Industrial Technology Tanzania Limited, Rahma Al-Kharoosi akizungumza na wandishi wa habari

Mratibu wa Bonanza la Popula Sports and Entertainment, Osman Kazi Mratibu wa Bonanza la watoto yatima, Osman Kazi akizungumza na waandishi wa habri
Mama Rahma akizungumza
Mwenyekiti wa vituo vya kulelea Watoto Yatima vya Dar es Salaam akishukuru
Picha ya Pamoja na baadhi ya Watoto Yatima
Mlezi wa Watoto Yatima,Mama Aminaja Kilemia akishukuru

Mlezi wa Kituo cha Hananasifu,Joan Matee akishukuru

Mmoja wa Watoto Yatima Gustaf Onesmo akishukuru
Mama Rahma akizungumza
Picha ya Pamoja

No comments