ad

ad

SAFARI YA MAKABURINI KWENDA KUHIFADHI MWILI WA DR.REMMY ONGARA SINZA DAR ES SALAAM.

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na mwili wa Marehemu, Ramazani Ongala wakielekea makaburini Sinza Dar es Salaam
Wakiwa wamebeba jeneza lake



Waandishi wa habari hawakuwa nyuma
Mwili ukushushwa
Waandishi nao
Mtoto wa Marehemu, Ramazani Ongara, Kally Ongara akipanda msalaba
Mke wa Marehemu akishuhudia shughuri zote

Mke wa Marehemu akiweka Shada la maua
Mmoja wa watoto akiweka shada







Wachungaji wakifanya kazi yao
Mtoto wa marehemu akiwa amebeba picha ya Baba yake









Ismail Michuzi akiweka shada la maua kwa niaba ya majirani na marafiki
Wabunge,Idd Azan na John Mnyika wakijiandaa kuweka mashada

Wakiweka mashada
Idd Azan akizungumza nawaombolezaji

John Mnyika akizungumza na halaiki

No comments