ad

ad

HII NI JINSI WAKAZI WA DAR ES SALAAM WALIVYOAGA MWILI WA MAREHEMU, RAMAZANI ONGALA .

Mtoto wa Marehemu Ramadhani Ongala , Kally Ongala akiaga mwili wa Baba yake
Kwaheri Baba......
Nilikupenda Baba lakini Mungu kakupenda zaidi..
Mzee Small nae alikuwepo.


Flora Mbasha akiaga mwili
Mwanamuziki wa Zamani, Cosmas Chidumule akiaga

Mmoja wa watoto akiaga
Baba ndio basi tena..
Baba sasa kwaheri..
Baba sitakuona tena.....
Waziri wa Habari, Michezo na Vijana, Emmanuel Nchimbi akiaga mwili wa marehemu
Mchungaji, John Said akiaga mwili
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akiaga mwili
Mbunge wa Kinondoni, Idd Azan akiaga mwili.
Mke wa Marehemu (katikati ya watoto) akiaga mwili wa marehemu Mume wake.
Baadhi ya watoto wa marehemu wakiaga
Adija Kopa akiaga


No comments