ad

ad

NBC YATOA VIFAA VYA KUSHONEA KWA SHIRIKA LA MAENDELEO KWA VIJANA LA YOUTH DEVELOPMENT PROGRAM LILILOKO UBUNGO KISIMWANI VYENYE THAMANI YA MILIONI 3.

Mkuu wa Idara ya Sheria wa Benki ya NBC, Felix Kibodya akikabizi msaada wa vifaa vya ushonaji kwa Mwanzilishi wa Shirika la Youth Develpment Program,Ally Mohamed (Libaba) vyenye thamani ya milioni 3.
Vyerehani

Hafla ya makabidhiano ikiendelea
Ally Baba akizungumza
Mkuu wa kitengo cha Sheria wa Benki ya NBC, Felix Kibodya akizungumza
Aly Libaba akizungumza


Nyzi
Mikasi na Majora


Baadhi ya vijana wanaoshi katika mazingira magfumu na Yatima ndio waliolengwa kwenye msaada huo.
Baadhi ya Watoto Yatima na Wanaoishi katika hali ngumu



Ally akimkabidhi Mkuu wa kitengo cha sheria ripoti
Neema Lyimo kutoka NBC akizungumza

MAKABIDHIANO
Picha ya Pamoja baada ya makabidhiano
Picha ya Pamoja

Wakikabidhiana risiti za manunuzi ya vifaa hivyo

No comments