ad

ad

JIJINI DAR

Pilika pilika za maandalizi ya Siku Kuu ya Chrismas na Mwaka Mpya zaanza kama inavyoonekana wakazi wa Dar es Salaam wakiwa Kariakoo
Hii ndio hali halisi ya Kituo cha Mabasi ya Kariakoo kuelekea Mbagala
Ajali kati ya Taxi na Taroli makutano ya taa za faya Dar es Salaam
Msanii Mlemavu wa macho aliyetambulika kwa jina la Hosea akitoa burudani kwa wapitanjia na wafanya biashara wa Kariakoo Dar es Salaam
Hosea huyo

No comments