ad

ad

HII NDIO HALI HALISI YA UKAMAE MKOANI DODOMA WILAYANI CHAMWINO

Vumbu likitimka kuashilia hali halisi ya Ukame Wilayani Chamwino Dodoma
Mimea ikiwa imekauka kwa sababu ya ukame na jua kali
Mkazi wa Dodoma Chamwino akizungumza na waandishi wa habari jinsi alivyopanda mbegu lakini hazijaota kwa sababu ya ukamae
Mama mkazi wa Dodoma Chamwino akichota maji kwa matumizi ya nyumbani
Wakazi wa Dodoma Chamwino wakichota maji huku mwandishi wa habari wa Gazeti la The African akishuhudia.
Mama mkazi wa Dodoma Chamwino akichota maji na wanae
Wakazi wa Dodoma Chamwino wakigombea maji
Ng'ombe wakipata shida kutokana na ukame uliopo Dodoma
Wakazi wa Dodoma wakimenya karanga
Mwandishi wa habari wa Gazeti la The African akitoka ndani ya nyumba ya mmoja wa wakazi wa Chamwino Dodoma.

No comments