ad

ad

HAKUNA KAZI YA MWANAMKE AMA YA MWANAUME."KAZI NI KAZI"

Msusi anayejulikana kwa jina la John wa Saluni ya jinsinsia ya Kkike iliyopo Kagera Standi jijini Dar es Salaam akimwandaa Bibi Harusi Mtarajiwa, Aisha kwenda kwenye Kitchen Party yake iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Lulu Sinza Dar es Salaam.
Bi Aisha akiandaliwa
Msusi, John yuko makini na kazi yake...
Msusi John na Bi harusi Aisha wakiwa kwenye pozi mara baada ya kazi hiyo kumalizika
Aisha akiwa kwenye pozi.
Aisha
Aisha akiwa na uso wa furaha.
Akiwa Ukumbini Lulu

No comments