ad

ad

CUF YATIKISA MWANANYAMALA JIJINI DAR.



Mgombea Udiwani wa Kata ya Makumbusho kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Ally Haroub, akiwahutubia wakazi wa Kata ya Makumbusho eneo la Mwananyamala Mwinjuma, wakati akifanya kampeni ya kuomba kura Dar es Salaam
Wakazi wa Kata ya Makumbusho wakimsikiliza mgombea udiwani, Ally Haroub kupitia Chama cha Wananchi (CUF), eneo la Mwananyamala Mwinjuma, wakati akifanya kampeni ya kuomba kura Dar es Salaam
Umati wa watu ukimsikiliza Mgombea huyo
Duh,watu wamefurika
Wako makini..
Mgombea Udiwani Kata ya Makumbusho akinadiwa
Duh hawa hawana utani kweli wanataka mabadiliko
Mgombea akimwaga sera
Meza kuu ikimsikiliza Mgombea.
Dereva wa pikipiki akiwa amepakia abiria wawili kinyume cha sheria na abiria kutokujali usalama wao maeneo ya Magomeni, Dar es Salaam

No comments