
MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafuru akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa msaada kwa shule ya msingi ya Temeke Dar es Salam jana wenye thamani ya Milioni 22.Kushoto ni Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo,Said Mbolembole

MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafuru

MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafuru(kulia) na Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka wakimkabidhi mwakilishi wa wanafunzi walemavu ,Faudhia Athumani sehemu ya msaada wenye thamani ya milioni 22 ikiwa ni vifaa vya kufundishia pamoja na vifaa vya michezo


MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafuru

MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafulu (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vifaa vya shule Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22 kwa ajili ya kufundishia Watoto weny ulemavu wa Shule ya Msingi Temeke.Hafla ya makabidhiano ilifanyika Shuleni hapo Temeke Dar es Salaam.Kushoto ni Ofisa Elimu wa Elimu maalum kwa Wilaya ya Temeke,George Vahaye.

MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafulu (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vifaa vya shule Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22 kwa ajili ya kufundishia Watoto weny ulemavu wa Shule ya Msingi Temeke.Hafla ya makabidhiano ilifanyika Shuleni hapo Temeke Dar es Salaam.

MKurugenzi Mtendaji wa Benk ya NBC,Lawrence Mafulu (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa vifaa vya shule Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka vyenye thamani ya Shilingi Milioni 22 kwa ajili ya kufundishia Watoto weny ulemavu wa Shule ya Msingi Temeke.Hafla ya makabidhiano ilifanyika Shuleni hapo Temeke Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa TEA,Rosemary Lulabuka akizungumza na waandishi wa habari.

Wanafunzi walemavu wa kusikia

Wanafunzi walmavu na Waalimu wao nyuma.

Wanafunzi

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Temeke,Said Mbolembole akitoa utambulisho

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Temeke,Said Mbolembole akitoa utambulisho kwa wageni.

Mkurugenzi mtendaji akisalimia halaiki ya watu

Mwenyekiti wa kamati ya shule,Ramadhani Mdunda akizungumza jambo.

Kurugenzi wa Mkuu wa TEA (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC wakisikiliza jambo

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Temeke,Said Mbolembole (kulia) akisoma risala wakati Ofisa Elimu wa Elimu maalum,George Vahaye akitafisiri.
k

Akitafsiri

Ofisa Elimu wa Elimu maalum akiwatafisilia wanafunzi walemavu wa kusikia

Watoto wanaondoka mara baada ya kuimba

Waalimu wakisikiliza

Wanafunzi wakipiga Ngomba wakati wenzao wakiimba

Wanafunzi wa Shule ya Msingi wakiimba kwa kushukuru msaada Mbele ya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC,Lawrence Mafulu alipokwenda kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kufundishia na vya michezo vyote vyenye thamani ya shilingi milion 22.

Wanafunzi wanaimba mbele ya Wageni

Wanafunzi walemavu wa wakipiga makofi

Watoto wakiondoka mara baada ya kuimba

Mkurugenzi wa TEA akizungumza jambo .

Ofisa Elimu wa Elimu maalum Wilaya ya Temeke,George Vahaye akizungumza wakati wa kutolewa kwa msaada huo.

Mmoja wa wanafunzi walemavu wa shule hiyo akitoa shukurani
Post a Comment