• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • What We Do

Jamiitz24

ad

ad
  • Home
    • HABARI MPYA
    • ELIMU
    • NAFASI ZA KAZI
    • SIASA
    • BURUDANI
    Home / Unlabelled / KAMPUNI YA PUMA ENERGY YACHANGIA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI

    KAMPUNI YA PUMA ENERGY YACHANGIA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI

    9:19 AM


    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inatarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia) baada ya kupokea hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 40 msaada uliotolewa kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika Ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inatarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. 
    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inatarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Follow us

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    Popular Posts

    • Samsal mabingwa Soka la Ufukweni Jjijini Dar.
      Samsal mabingwa Soka la Ufukweni Jjijini Dar.
        Baadhi ya Wachezaji wa Samsal Mikocheji wakishangilia na Kikombe pamoja na hundi ya shilingi milioni moja mara baada ya kuibuka mabingw...
    • Serikali yatoa Ufafanuzi kuhusu Operesheni Ondoa Wavamizi wa Ardhi huko Madale jijini Dar es Salaam
      Serikali yatoa Ufafanuzi kuhusu Operesheni Ondoa Wavamizi wa Ardhi huko Madale jijini Dar es Salaam
      RC Dar, Saidi Mecki Sadiki Na. Aron Msigwa –MAELEZO. Dar es salaam.  Serikali imesema kuwa haitayavumilia makundi ya watu ...
    • MAMBO YA VODA SASA KAMA KAWAIDA: NOW IN DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO
      MAMBO YA VODA SASA KAMA KAWAIDA: NOW IN DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO
      Now with KAMA KAWAIDA, Vodacom customers who are travelling to DRC can start to make calls at the local DRC rates and receive calls for FRE...
    • KAMPUNI YA KUSAFIRISHA MIZIGO YA SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD YAKABIDHI MSAADA WA VITU MBALIMBALI VILIVYOTOLEWA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KUWASAIDIA WAKAZI WA MABWEPANDE
      KAMPUNI YA KUSAFIRISHA MIZIGO YA SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD YAKABIDHI MSAADA WA VITU MBALIMBALI VILIVYOTOLEWA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KUWASAIDIA WAKAZI WA MABWEPANDE
      Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Saidi Meck Sadiki (kulia) akipokea msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na watanzania wais...
    • GENERALI JUMA MKAMBI AZIKWA KISUTU
      GENERALI JUMA MKAMBI AZIKWA KISUTU
      Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakipokezana mwili wa marehemu Generali Juma Mkambi wakati wa mazishi yaliyofanyika Kisutu Dar es Salaam Rais...
    •  TAASISI YA VYOMBO VYA HABARI KUSINI MWA AFRIKA(MISA-TAN) YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUTOA MATOKEO YA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA‏‎
      TAASISI YA VYOMBO VYA HABARI KUSINI MWA AFRIKA(MISA-TAN) YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUTOA MATOKEO YA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA‏‎
      Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania -Media Institute of Southern Africa   (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana...
    • TFF: RUKSA KLABU KUCHEZESHA NYOTA WATANO WA KIGENI MECHI MOJA
      TFF: RUKSA KLABU KUCHEZESHA NYOTA WATANO WA KIGENI MECHI MOJA
        Kikosi cha kwanza cha Yanga kilichocheza na kushinda mabao 4-1 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Kikosi hic...
    • YANGA HAIKAMATIKI, YALIPA KISASI KWA KAGERA
      Mshambuliaji wa Yanga Said Bahanuz, akijaribu kumfunga kipa wa Kagera Sugar Hannington wakati wa mechi ya Ligi Kuu ...
    • KAMPUNI YA SIDO YA TEMSO YAZINDULIWA RASMI.
      KAMPUNI YA SIDO YA TEMSO YAZINDULIWA RASMI.
      Mkurugenzi Mkuu wa SIDO,Mike Laizer akinadi moja ya kif cha kufyatulia matofali kilichotengenezwa na Kampuni ya TEMSO mara baada ya uzinduzi...
    • YANGA YAICHAPA PRISONS YA MBEYA 2-1 UWANJA WA TAIFA.
      YANGA YAICHAPA PRISONS YA MBEYA 2-1 UWANJA WA TAIFA.
        Wachezaji wa timu ya Yanga , Gelson Santana- Jaja (kulia) akimpongeza  Simon Msuva baada ya kuipatia timu ya Yanga bao la pili na ushin...

    PAGEVIEWS

    Created By SoraTemplates | Distributed By Gooyaabi Templates