ad

ad

YANGA YACHAPA MTIBWA 3-1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM.

 Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Jerison Tegete akifunga goli la pili kwa njia ya penati wakati wa mechi ya kirafiki dhidi ya Mtibwa iliyochechwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga imeshinda 3-1.
 Baadhi ya wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia kwa staili ya pekee mara baada ya kushinda bao la tatu dhidi ya Mtibwa
 Umati wa watu uliofika kushuhudia mechi hiyo
 Wakishangilia bao la tatu.
 Wakishangilia
 Haya ndio matokeo mpaka mpira unamalizika
 Wachezaji wa timu ya Mtibwa wakimzonga refa mara baada ya kuamuru penati
 Umati wa watu ukishuhudia mechi
 Kikosi cha Yanga kilichoanza
Kikosi cha Mtibwa kilichoanza

No comments