ad

ad

MAMBO YA NJIANI WAKATI NIKIREJEA JIJINI DAR ES SALAAM NIKITOKEA MBEYA

 Gari likiwa limepinduka  ambapo haikufahamika chanzo cha ajari hii
 Hapa ni sehemu maarufu ambapo wasafiri hujipatia chakula
 Hapa nikirejea jijini Dar es Salaaam

 Gari lingine likiwa limepinduka
 Hii balaa njiani
 Mbuga ya Hifadhi ya Wanyama ya Mikumi ikiwa imechomwa Moto bila kujali umuhimu wa Waanyama katika Mbuga hiyo
 Tazama huu uharibifu
 Wajasiliamali wakiwa wametundika vitu njiani


No comments