EXTRA BONGO WAACHA HISTORIA KANDA YA ZIWA
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo akiimba wakati wa onyesho maalum katika Ukumbi wa Villa jijini Mwanza
Muimbaji,Redo Mauzo akiimba wakati wa onyesho hilo
Muimbaji wa Bendi hiyo,Banza Stone akitunzwa wakati akiimba kwenye shoo hiyo
Muimbaji wa zamani wa Bendi hiyo,Mwenzingo akikumbushia enzi zake
Kiongozi wa Bendi,Rogati Hega akiima wakati wa shoo hiyo
Muimbaji wa Bendi hiyo,Amina Kimobitel akiimba
Chocky akiimba
Post a Comment