ad

ad

EXTRA BONGO WAACHA HISTORIA KANDA YA ZIWA

 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo akiimba wakati wa onyesho maalum katika Ukumbi wa Villa jijini Mwanza
 Muimbaji,Redo Mauzo akiimba wakati wa onyesho hilo
 Muimbaji wa Bendi hiyo,Banza Stone akitunzwa wakati akiimba kwenye shoo hiyo
 Muimbaji wa zamani wa Bendi hiyo,Mwenzingo akikumbushia enzi zake
 Kiongozi wa Bendi,Rogati Hega akiima wakati wa shoo hiyo
 Muimbaji wa Bendi hiyo,Amina Kimobitel akiimba
Chocky akiimba

No comments