ad

ad

EXTRA BONGO WAANZA MAKAMUZI NDANI YA UKUMBI WA VILLA PARK JIJINI MWANZA

Wacheza shoo wa Bandi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa shoo yao katika Ukumbi wa Villa Park jijini Mwanza wakati wa Ziara ya Kanda ya Ziwa

 Muimbaji wa Bendi ya Extra Bongo,Redo Muzo akiimba sambamba na Mkurugenzi wake , Ally Chocky katika ukumbi wa Villa Park jijini Mwanza
 Wakicheza
 Wakicheza
Wakicheza
 Wakicheza
 Mpiga Bass,Hoseah Mgoachi akilichakaza gitaa lake
 Mpiga Tumba,Ngosha akiwajibika
 Mpiga Drum,Katanyama akiwajibika
 Mpiga Rhrythim,Mfaume akiwajibika sambamba na mpiga Solo wa Kamanyora Bandi
Mpiga Kinanda,Sebastiani akiwajibika kwa furaha akiwa nyumbani




 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bonda,Ally Chocky akiimba
 














 

No comments