ad

ad

AJALI MBAYA YA LORI LA MAFUTA MLIMA SEKENKE WANANCHI WAGOMBEA MAFUTA YA DIESEL

 Askari wa Jeshi la Polisi akijaribu kuwazuia wananchi bila mafanikio wakichota mafuta ya Diesel mara baada ya Lori lenye namba za usajili KAA8626  lililokuwa limebeba mafuta hayo kupinduka katika Mlima Sekenke bila kujali usalama wao.
 Wananchi wakigombea Mafuta hayo bila kujali usalama wao
 Wananchi wakigombea
 Wakina mama na wasichana wakisombelea kama maji bila kujali usalama wao
 Wakichota mafuta hayo yliyokuwa yakitiririka 
 Askari wakiwa wamejikalia pembeni
 Hii kali watanzania wataelimika lini?
 Afande akijaribu kuwazuia watu

No comments