ad

ad

WADAU NAELEKEA MWANZA KIDOGO KWA MAANDALIZI YA SAFARI NYAMA CHOMA MWISHONI MWA WIKI

Ni mida ya saa tano nikipanda pipa kuelekea Rocky City wadau
Hali ya hewa ndio kama hivi huku juu
Baada ya kuwasili jijini Mwanza nakutana na mjasiliamali wa miwa akielekea mjini kuuza miwa

No comments