ad

ad

Warembo Redds Miss Tanzania 2012 watembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro

Warembo wanaoshiriki shindano la Redds Mi, wakiwa katika picha ya pamoja Oktoba 7, 2012 wakati warembo hao walipo tembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro na kuopata maelezo na mza na watalii na wapanda mlima huo. Warembiongozi wa Kamati ya Miss Tanzania wapoa ya Kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani.utembelea hifadhi hiyo lakini warembo hao walishiriki katika tamasha la michezo kwaajili ya kuchangia fedha na vitu mbalimbali kwa watoto Yatima mjini Arusha.

Oktoba 8 warembo wanaendelea na ziara yao ikiwa ni pamoja na kutembelea kituo cha Redio
Washiriki wa Redds Miss tanzania 2012 wakiwa katiak picha tofauti tofauti wakati wakiwa katika eneo la Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro KINAPA.
Warembo wakizungumza na mmoja wa Wasaidizi wa watalii wanao panda mlima Kilimanjaro.
baadhi ya warembo wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania
Warembo wakizungumza na mmoja wa Wasaidizi wa watalii wanao panda mlima Kilimanjaro.
Warembo wakiwa wakiwa katika eneo la maegesho ya magari KINAPA
Wakielekea eneo la kupata taarifa mbalimbali za Mlima Kilimanajaro
Wakipiga picha na baadhi ya watalii waliowakuta hapo.
Warembo wa Redds Miss Tanzania wakimsikiliza Afisa Mhifadhi wa KINAPA, Eva Malya aliyekuwa akiwapa taarifa mbalimbali juu ya mlima huo.
Warembo wakiwa na nyuso za furaha wakiendelea kupata maelezo juu ya mlima
Hapa sasa walibeba mabegi

No comments