MAMA ASHA BILAL ASHEREHESHA USIKU WA TAMASHA LA MWANAMKE MJASILIAMALI TANZANIA
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, (wa tano
kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanawake Wajasiliamali
wakati wa Tamasha la Usiku wa Mwanamke Mjasiliamali Tanzania, lililofanyika
kwenye Ukumbi wa Hoteli
ya Serena jijini Dar Es Salaam
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal,
akiwahutubia wanawake Wajasiliamali, wakati wa Tamasha la Usiku wa Mwanamke
Mjasiliamali lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar Es
Salaam
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal,
akiwahutubia wanawake Wajasiliamali, wakati wa Tamasha la Usiku wa Mwanamke
Mjasiliamali lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar Es
Salaam
Wakimkaribisha
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, (wa nne
kulia) Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (wa tatu kulia), wakijumuika na
baadhi ya Kinamama kuserebuka kwa pamoja wakati wa Tamasha la Usiku wa Mwanamke
Mjasiliamali Tanzania, lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini
Dar Es Salaam
Wakina Mama wakimkaribisha
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, (wa pili
kushoto) Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (wa pili kulia), wakijumuika na
baadhi ya Kinamama kuserebuka kwa pamoja wakati wa Tamasha la Usiku wa Mwanamke
Mjasiliamali Tanzania, lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini
Dar Es Salaam
Wakina Mama wajasilamali wakimpokea
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, Mke wa Waziri
Mkuu, Mama Tunu Pinda, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira)
Terezya Huvisa (kushoto) wakiwa Meza Kuu pamoja na baadhi ya viongozi wa Kamati
ya maandalizi ya Tamasha la usiku wa Mwanamke Mjasiliamali, lililofanyika
kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar Es Salaam
Wakina Mama wajasiliamali wakimsikiliza
Post a Comment