ad

ad

HIVI NDIVYO MANZESE ITAKAVYOKUA BAADA YA UJENZI WA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI BARABARA YA MOROGORO JIJINI DAR ES SALAAM



Maswali magumu kuyajibu nikwamba ubora huu kama utadhihiri hivi utunzwaji wake utakuaje? mimi na wewe tusubiri. Madereva wa mabasi hayo watakua ni watanzania wenye vyeti vya VETA au NIT pamoja na Wachina.

No comments