ad

ad

BADO NIPO NIPO KWANZA




Bada ya uvumi kwamba aliekuwa Raisi wa Afrika Kusini Nelson Mandela huenda akaaga dunia,habari njema kutoka mjini Johannesberg zimeeleza kwamba kiongozi huyo kipenzi cha wengi ameagwa hospitalini na kuruhusiwa kurudi hom kwake>>>>>LONG LIVE MANDELA

No comments