NDOVU SPECIAL MALT YAZINDUA KOPO LA DHAHABU LENYE UJAZO WA 330ML.
Dar es Salaam, Desemba 1, 2010: Kampuni ya bia nchini TBL kupitia bia yake ya Ndovu Special Malt leo imezindua kopo la dhahabu lenye ujazo wa 330ml. Kopo hili litapatikana sokoni pamoja na chupa ya kijani yenye foil ya dhahabu tunayoifahamu.
Akizungumza katika uzinduzi huo,meneja wa bia ya Ndovu Special Malt Oscar Shelukindo alisema kopo hili lenye muonekano wa kipekee unasherehekea bia ya Ndovu Special Malt kushinda tuza ya juu ya ubora ulimwenguni ijulikanayo kama Grand Gold Quality Award 2010 mwezi Mei katika International Monde Selection. “Hii ni Grand Gold ya kwanza kutunukiwa bia nchini Tanzania na tuzo hili hutolewa kwa bia yenye ubora wa asilimia 90 hadi 100 kwa ubora unaodhibitishwa na jopo la majaji wa kimataifa” alisema Shelukindo.
Kwa upande wake mpishi mkuu wa TBL Bwana Gaudence Mkolwe alisema “Ndovu Special Malt ndiyo bia pekee iliyotengenezwa kwa Crystal Malt,ambayo inaipatia bia ya Ndovu ladha nzuri ya kipekee zaidi”.
Alisema nia na madhumuni ya kuzinduliwa kwa bia ya Ndovu Special Malt katika muonekano wa kopo ni kuwapa wanywaji wa bia hii nafasi ya kufurahia ubora wa Ndovu bila usumbufu wa kurudisha chupa kwa kuwa Kopo ni rahisi kubeba,Ni la kisasa na linakupa Uhuru wa kufurahia Ndovu Special Malt wakati wote.
Nae meneja wa mawasiliano na habari wa TBL Bi Edith Mushi alisema Ndovu Special Malt inawajali wanywaji na itaendelea kuwaletea mambo mengi mazuri huku Ikitambuliwa kama bia yenye ubora zaidi nchini Tanzania.
Dar es Salaam, December 1, 2010: Tanzania Breweries through its brand, Ndovu Special Malt, today introduced the much awaited 330ml Golden Can.
The Ndovu Special Malt Can is a new addition to the family of the 375ml green, gold foiled bottle.
Speaking during the launch, Ndovu Special Malt brand manager Oscar Shelukindo said the fancy new Can celebrates the Grand Gold Quality Award 2010 won by Ndovu Special Malt in May from the International Monde Selection. “This is the first Grand Gold Award given to a Beer brand in Tanzania and it is given for a beer judged to have quality between 90% and 100% by a panel of internationally renowned judges.Said Mr. Shelukindo”.
Also speaking at the launch function was the Tanzania Breweries Ltd brew master Mr Gaudence Mkolwe who said, “Ndovu Special Malt was the only brand brewed using Crystal Malt, a special malt which gave Ndovu Special Malt a unique and distinctive flavor.
The aim of introducing the new non returnable Can is to create more choice for the consumer, making it convenient to carry around and as a quality and convenience statement for those who prefer Cans at outdoor, party and picnic occasions. Essentially this creates more drinking occasions.
“Notably Tanzania’s Premium Brand of Choice, Ndovu Special Malt, will endeavor to offer the very best to its consumers and the introduction of the Can is just one of the many surprises we have in store for you.” Added Miss Edith Mushi, the Communication and Public Affairs Manager at TBL.
Post a Comment