ad

ad

ZANTEL YAZINDUA DUKA MAALUM KWA WATEJA WAKE WA HIGHLIFE.


Mkurugenzi wa Kampuni ya Executive Solution, Aggrey Mareale (wa pli kutoka kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja kulia kwake, Timea Chogo, wakikata utepe jana kuashiria uzinduzi rasmi wa duka la huduma za wateja wa Highlife wa Kampuni ya Zantel, litakalowawezesha wateja kupata huduma hapo. Duka hilo lipo Makao Makuu ya Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni hiyo, Ikechukwu Kalu na Mkurugenzi Mkuu wa Biashara, Nitish Malik.
Wafanyakazi wa huduma kwa wateja wakiwa ndani ya duka hilo la High life,Adrienne Bonzon (kulia) na montini Tenga
Mfanyakazi wa Zantel
Mkuu wa Biashara, Nitish Malik na Mkuu wa Huduma kwa Wateja Timea Chogo wakifurahia jambo

Mkuu wa mawasiliano akiwakaribisha waandishi wa habari
Wafanyakazi wa Zantel wakiwa na furaha kwa kuzindua huduma hiyo
Wafanyakazi wa Zantel
Wafanyakazi wa Zantel
Mgeni rasmi akizungum,za na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi huo.
Wafanyakazi wakisikiliza kwa makini
Ofisa Masoko, Ikechukwu Kalu akizungumza

Head of Segment, Brian Karokola
Akizungumza
Mgeni rasmi akiwaonyesha waandishi wa habari simu aliyoipata bure kutoka Zantel
Mkuu wa Biashara akizungumza
Wakikata utepe
Wakiwa ndani ya Duka hilo
Wahudumu wa vduka la huduma kwa wateja


Mmoja wa wateja wa Highlife akipewa zawadi

Viburudisho
Picha ya Pamoja ya Wafanyakazi wa Zantel na Mgeni rasmi