ad

ad

STANBIC BANK YAFANYA BONANZA LA GOLF KWA WATEJA WAKE NA WATEJA WATARAJIWA GYMCANA DAR ES SALAAM



Mchezaji wa Golf,Moyo Nomen akicheza wakati wa Bonanza la siku moja lililoshilikisha wateja wa Benki ya Stanbic,wateja watarajiwa na wachezaji wa Klabu ya Gymcana kwa lengo la kuwaweka karibu na benki hiyo pamoja na kufahamiana baina yao kwa uzamini wa Benki hiyo Dar es Salaam
Mchezaji wa Golf wa Klabu ya Gymcana, Bhupesh Aima akicheza wakati wa Bonanza la siku moja lililoshilikisha wateja wa Benki ya Stanbic,wateja watarajiwa na wachezaji wa Klabu ya Gymcana kwa lengo la kuwaweka karibu na benki hiyo pamoja na kufahamiana baina yao kwa uzamini wa Benki hiyo Dar es Salaam
Athumani Chiundu akicheza wakati wa Bonanza hilo
Angel Eatona kitazanma kwa makini jinsi ya kumalizia wakati Bonanza hilo
Abgela akicheza
Mzee Wilson Mwendamseke akicheza.
Mwenyekiti wa Bodi wa Benki ya Stainbic, Khatibu Senkondo akicheza wakati wa Bonanza hilo Gymcana kwa lengo la kuwaweka karibu na benki hiyo pamoja na kufahamiana baina yao kwa uzamini wa Benki hiyo Dar es Salaam
Mwenyekiti , Senkolo akifuatilia mpira wake
Godfrey Kalenge kutoka TTCL akiwa amecheza wakati wa Bonanza hilo
Mchezaji wa tenesi, Rashid Swaleh akifanya mazoezi kwenye viwanja vya Klabu ya Gymcana Dar es Salaam dhidi ya mpinzani wake Edwin Mapunda
Edwin Mapunda akicheza

No comments