ad

ad

GAVANA AZINDUA MFUKO MAALUMU WA KUSAIDIA SECTA BINAFSI KATIKA KUPUNGUZA UMASIKINI NCHINI TANZANIA.



Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Benno Ndolu akizindua mfuko wa kusaidia secta binafsi za kupunguza umaskini Barani Afrika (ACEF), hususani Tanzania, uzinduzi huo ulifanyika kwenye Hoteli ya Kempisk jijini Dar es Salaam.
Wageni waalikwa wakimsikiliza Gavana
Gavana akizindua
Wakimsikiliza kwa makini
Wakisikiliza
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo akizungumza
Wageni waalikwa wakifuatilia
Mkurugenzi wa Mfuko huo Hugh Scott akizungumza
Waalikwa wakifuatilia
Waalikwa wakifuatilia kwa makini
Waalikwa

Hugh akizungumza
Wakipongezana mara baada ya uzinduzi huo
Wakiteta janmbo
Mkurugenzi wa Mfuko wa kusaidia secta binafsi za kupunguza umaskini Barani Afrika (ACEF), Hugh Scott (ushoto) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi wa mfuko huo kwenye Hoteli ya Kempisk Dar es Salaam jana.Katikati ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Benno Ndulu na Mwakilishi wa Shilika la kupambana na umaskini (DFID), Darren Welch
Gavana akizungumza na waandishi wa habari
Wakiteta jambo mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari

No comments