ad

ad

FAINALI KATI YA SHULE YA SEKONDARI YA MAKONGO NA JITEGEMEE LIGI YA TFF.

Beki wa timu ya Shule ya Sekondari ya Jitegemee, Ally Mbonde, akimdhibiti mshambuliaji wa timu ya Shule ya Sekondari ya Makongo, John Chedy, wakati wa fainali za mashindano ya TFF kwa shule za sekondari, yaliyomalizika jana Dar es Salaam. Jitegemee ilishinda 2-1. Kocha wa timu ya Taifa akizungumza na timu zote mbili kabla ya mchezo kuanza. Akizungumza nao Kocha wa timu ya Taifa akipata maelekezo toka kwa mwamuzi wa fainali hiyo Akikagua timu ya Jitegemee Akikagu timu ya Shule ya Sekondari ya Makongo Timu zote mbili zikisalimia halaiki Wakisalimiana Picha ya Pamoja ya Wachezaji wa Jitegemee Picha ya Pamoja ya Wachezaji wa Makongo Picha ya Pamoja ya Waamuzi na manahoza wa timu zote mbili Mshambuliaji wa timu ya Jitegemee akiipatia timu yake goli la kwanza Akishangilia Wakishangilia goli kwa style ya Kiduku

No comments