ad

ad

VOICES II PROJECT WATAMKA NAMNA YA USHIRIKI WAO KWENYE SWAHILI FASHION.

Meneja habari na utetezi wa Voices II Project chini ya mpango wa Maralia haikubaliki , Fauziyat Abood akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ushiki wao kwenye maonyesho ya mavazi yanayotambulika kama ‘Swahili Fashion Week’ yatakayoanza Novemba 4 Dar es Salaam. Kutoka Kushoto ni Mshauri wa ufundi wa Voices II Project, Anna McCartney,Wabunifu wa mavazi, Fransisca Shirma, Salim Ally na Diana Ally.
Akizungumza
Anna kutoka Voices akizungumza

Wabunifu wa mavazi na maofisa uhusiano wakiwa kwenye picha ya pamoja
Ofisa Uhusiano na Mbunifu wa mavazi...

No comments