ad

ad

MWMBO YA WEED END

Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern Taarabu Mzee Yusufu akiwaburudisha wapenzi na mashabiki mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa Mango Gardeni jijini Dar es Salaam sambamba na onyesho la Ngoma ya Kibati kutoka Tanga
Wanenguaji wa Ngoma ya Kibati kutoka Tanga wakiwajibika jukwaani
Duh
Wacha we...
Haya sasa...
Hapo je...
Waimbji wa nyimbo za taarabu wa Bendi ya Jahazi wakiimba

Mwimbaji wa nyimbo z Tarabu wa Bendi ya Jahazi,Isha Mashauzi akiwaburudisha wapenzi na mashabiki wanyimbo hizo wakati wa onyesho walilolifanya mwishoni mwa wiki.
Waimbaji wa Jhazi wakiwajibika
Isha Mashauzi

No comments