MANUARI YENYE HOSPITALI NDANI KUTOKA CHINA YAWASILI DAR.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Manuari yenye Hospitali kutoka China, Kaptani Yu Dapeng (kusoto) akimuelekeza Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Hospitali ya Lugalo,Meja Generali ,Salim Salim alipotembelea Manuari hiyo Dar es Salaam Bandalini.Kulia ni Balozi wa China nchini Tanzania, Liu Xinsheng na Kamanda wa Manuari hiyo,Rear Admiral Bao Yuping
Mkuu wa Hospitali ya Lugalo akipata maelezo kutoka kwa mkalimani, Liu Xiaomei
Baadhi ya Vitanda vilivyomo ndani ya Manuari hiyo yenye jumla ya vitanda elfu tatu (3000)
Akipata maelezo Mgeni rasmi.

Hili ni Korido ndani y Manuari hiyo.
Mgeni rasmi akitembezwa sehemu mbalimbali.
Hii ni sehemu mojawapo za kutolea huduma ya afya ndani ya manuari hiyo.
Akipta maelezo ya hiyo mashine
Wakipandisha ngazi ndani ya Manuari hiyo.
Mkutano na waandishi wa habari


Wakizungumza na waandishi wa habari ndani ya manuari





Mkuu wa Hospitali ya Lugalo, Meja Generali Slim Salim akizungumza na waandishi wa habari.
Kamanda wa Manuari, Rear Admiral Bao Yuping akimkabidhi zawadi Mkuu wa Hospitali ya Lugalo Meja Generali Salim Salim.
Aksante kwa zawadi
Aksante sana
Duh nzuri
Na hiyo tena .....
Jamani duh,aksanteni sana
Aksante
Hapa ni upande wa juu wa Manuari hiyo waandishi wa habari wakipiga pisha.
Post a Comment