Mwakilishi
wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia)akimkabidhi, Gaspaer Dismas mshindi
wa TV ya Samsung, Nkwaya Maduhu aliyeshinda
katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano ya
zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.
Mwakilishi
wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia) akimkabidhi, Salim Kheri mshindi wa Tablete ya
Samsung, aliyeshinda katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano ya zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam.
Mwakilishi
wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia)akimkabidhi, Henry Joseph mshindi wa
Microwaves ya Samsung aliyeshinda katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano
ya zawadi hizo yalifanyika Dar es
Salaam.
Mwakilishi
wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo(kulia)akimkabidhi, Nurdin Nurdin mshindi
wa Home Theater ya Samsung aliyeshinda
katika droo ya mwezi May 2014.Makabidhiano ya
zawadi hizo yalifanyika Dar es Salaam jana.
 |
Mwakilishi
wa Kampuni ya Samsung, Ibrahim Kombo akizungumza na waandishi wa habari mara
baada ya makabidhiano ya zawadi zam Samsung katika droo ya mwezi May
2014.Makabidhiano ya zawadi hizo
yalifanyika Dar es Salaam.
Kampuni ya Samsung Tanzania
kitengo cha elektroniki leo hii
imewakabidhi washindi wa Mai katika droo ya E-Warranty. Makabidhiano haya
yalifanyika katika duka kuu la Samsung Quality Centre, barabara ya Pugu.
“Mfumo huu wa E-Warranty umekuwa na mafanikio
sana humu Tanzania Mfumo huo wa e-warranty unawasaidia wateja kujua kama simu
ya Samsung wanayotaka kununua inadhamana ya miezi 24, kama simu imeibiwa
au inatafutwa na kama simu ni mpya au imeshatumika’, alisema Mwakilishi wa
Samsung Bwana Ibrahim Kombo.
Zawadi za kushindania ni: Televisheni 1
aina ya LED ya inchi 32, Galaxy Tab 1, Kamera 3, home theatre 1, Microwave 3 na
simu 1 aina ya Galaxy Grand.
Kujua kama simu ni halali, mteja anatakiwa
kufuta maelekezo yafuatayo: Tuma ujumbe na neno ‘Check’ ikifuatiwa na
alama ya nyota (*) kisha namba ya IMEI, ikifuatiwa na alama ya
reli (#) na kutuma kwa namba ‘15685’. Ujumbe unatumwa moja kwa moja
kuelezea hadhi ya simu hiyo ya Samsung.
WASHINDI WA DROO
YA SAMSUNG E-WARRANTY MAI 2014
|
NO
|
JINA
|
MKOA
|
ZAWADI
|
|
1
|
MKWAYA
MADUHU
|
DAR ES
SALAAM
|
LED TV
32'
|
|
2
|
SALIM
KHERI
|
DAR ES
SALAAM
|
TABLET
|
|
3
|
MBONI
KASSIM
|
DAR ES
SALAAM
|
MICROWAVE
|
|
4
|
VICKY
LUKINDO
|
DAR ES
SALAAM
|
HOME
THEATRE
|
|
5
|
KIBWANA
KITOGO
|
DAR ES
SALAAM
|
CAMERA
|
|
6
|
NURUDIN
NURUDIN
|
ARUSHA
|
HOME
THEATRE
|
|
7
|
HALIMA
AYOUB
|
MWANZA
|
CAMERA
|
|
8
|
TWACHA
MOKINA
|
MOSHI
|
MICROWAVE
|
|
9
|
MAINDA
CHRISTOPHER
|
MBEYA
|
CAMERA
|
|
10
|
HENRY
JOSEPH
|
DODOMA
|
MICROWAVE
|
|
Post a Comment