ad

ad

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA KENYA

 
Rais JAkaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Waziri wa Sheria wa Kenya Mhe Eugene Wamalwa wa chama cha New Ford Kenya. Kulia kwake Naibu Waziri Mkuu wa Kenya na Waziri wa Fedha Mhe. Uhuru Kenyatta ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha TNA. Wengine ni Naibu Waziri wa Afya na mbunge wa Mombasa Mhe. Kambi Kazungu (kulia), Mbunge wa kuteuliwa wa chama cha TNA Bi Rachel Shebesh, na Mbunge wa Kajiado kwa tiketi ya TNA Moses ole Sakuda (kushoto) na mbunge wa zamani Mhe Abdullahi Alli alipokutana na ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam
 
RAIS JamhuriyaMuunganowa Tanzania, MheshimiwaJakayaMrishoKikweteametakawananchiwa Kenya wapewenafasiyakuamuaniviongoziganiwanawatakakatikaUchaguziMkuuuliopangwakufanyikaMachimwakani.
Aidha, RaisKikweteamesemakuwawananchiwa Kenya wanayohakiyamsingikabisakuamuahatmayataifalaokatikaUchaguziMkuuhuo.
MheshimiwaRaisaliyasemahayoleoOktoba 21, 2012 alipokutananakufanyamazungumzonaujumbewawabungewavyamambalimbalivyasiasavyanchini Kenya uliomtembeleaIkulujijini Dar es salaam.
UjumbehuouliongozwanaNaibuWaziriMkuuwa Kenya naWaziriwaFedhaMhe. Uhuru Kenyatta ambayepianiMwenyekitiwachama cha TNA naWaziriwaSheriawa Kenya Mhe Eugene Wamalwawachama cha New Ford Kenya. WotewawiliniwagombeawanafasiyaUraiskatikauchaguziujao.
WenginekatikamsafarahuowalikuwaniNaibuWaziriwaAfyanambungewa Mombasa Mhe. KambiKazungu, Mbungewakuteuliwawachama cha TNA  Bi Rachel Shebesh, naMbungewaKajiadokwatiketiya TNA Moses ole SakudanambungewazamaniMheAbdullahiAlli.
RaisKikwetealiwapongezakwakuamuakufanyakazikwapamojalichayakuwawatakuwawashindanikatikakinyang’anyiro cha uchaguzimkuuhuo.
MheshimiwaRaisameitakiaherinchiya Kenya katikauchaguzihuoujao, nakusisitizakwambanchihiyoyajiraniinaumuhimukatikamustakabaliwakiuchumikwanchizaAfrikaMashariki.
RaisKikwetewakatihuoakiwaMwenyekitiwaUmojawaAfrika (AU) alikuwamiongonimwaviongoziwalioshughulikasanakutafutaufumbuziwaghasianavuruguzilizozukakufuatiaUchaguziMkuuwamwaka 2007 nchini Kenya.
RaisKikwetealikaasikutatunchini Kenya akitafutausuluhishiwavuruguhiyoyakisiasanchinihumo, ambayokatikamazungumzoyakeleoameyatajakamaajaliiliyolipataTaifa la Kenya, naambayomajirani wake hawaitarajiikutokeakatikauchaguziujao.
  Rais JAkaya Mrisho Kikwete akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Kenya na Waziri wa Fedha Mhe. Uhuru Kenyatta ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha TNA, Waziri wa Sheria wa Kenya Mhe Eugene Wamalwa wa chama cha New Ford Kenya, Naibu Waziri wa Afya na mbunge wa Mombasa Mhe. Kambi Kazungu (kulia), Mbunge wa kuteuliwa wa chama cha TNA Bi Rachel Shebesh, na Mbunge wa Kajiado kwa tiketi ya TNA Moses ole Sakuda (kushoto) na mbunge wa zamani Mhe Abdullahi Alli alipokutana na ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam
Rais JAkaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Naibu Waziri wa Afya na mbunge wa Mombasa Mhe. Kambi Kazungu. Wengine ni Waziri wa Sheria wa Kenya Mhe Eugene Wamalwa wa chama cha New Ford Kenya, Naibu Waziri Mkuu wa Kenya na Waziri wa Fedha Mhe. Uhuru Kenyatta ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha TNA. Kushoto kwa Rais ni Wengine ni (kulia), Mbunge wa kuteuliwa wa chama cha TNA Bi Rachel Shebesh, na Mbunge wa Kajiado kwa tiketi ya TNA Moses ole Sakuda (kushoto) na mbunge wa zamani Mhe Abdullahi Alli alipokutana na ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam

No comments