ad

ad

MIAKA 50 YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakati wa kuazimisha miaka 50 ya tangu kuanzishwa kwa chuo hicho.
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
Waziri Mkuu akizindua rasmi sherehe za miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Msanii wa nyimbo,Mrisho Mpoto akitoa burudani wakati wa maadhimisho hayo
Wanafunzi wa kisikiliza wakiwa na Bango lenye ujumbe wa 'Mtoto wa Mkulima tunalala nnje'Wanafunzi wakisikiliza kwa makini
Wageni waalikwa ,wakufunzi na maprofesa wakisikiliza
Wakisikiliza
Wanafunzi
Wanafunzi
Akizungumza
Wakisikiliza
Waziri wa mambo ya Nje, Bernard Membe akiahidi kukisaidia Chuo Kikuu M.5 @ Mwaka
Wakipiga makofi
Akizindua rasmi miaka 50
Akizindua
Akizindua
Picha ya Pamoja baada ya uzinduzi

Akiwapongeza kwa waliobuni nembo
Akimpongeza mwanafunzi mwingine aliyebuni nembo
Wakimkabidhi zawadi ya vitabu kwa kazi nzuri ya uzinduzi
Mwanafunzi Bora wa Mwaka2010,Salome aliyefanya vizuri kwa kufaulu kwa point 4.7 akitoa shgukrani kwa Waziri baada ya shughuli za uzinduzi wa miaka 50 ya Chuo Kikuu cha UDSM.
Waliobuni nembo wakisikiliza kwa makini.
Wakiteta jambo
Picha ya Pamoja mara baada ya Uzinduzi.
Picha ya pamoja na mwanafunzi Bora Salome wa mwaka 2010.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Mwanafunzi aliyefanya vizuri mwaka 2010,Salome
Mwanafunzi bora wa 2010 aliyepasua kwa 4.7,Sarome.