ad

ad

BOZIBOZIANA NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

Mwanamuziki kutoka Demokrasia ya Kongo,Bozi Boziana (kushoto) akiwasili kwenye ofisi za ASET Kinondoni na Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka kuzungumza na waandishi wa habari

Akisalimiana na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Harid Chokoraha
Akisalimiana na Dogo Rama
Akisalimiana na Lwiza Mbutu
Akisalimiana na rapa, Phagason



Asha Baraka akitoa utambulisho
Akizungumza na waandishi wa habari


Bozi Boziana akizungumza na waandishi wa habari



Asha akizungumza


Mmoja ya waimbaji wa BOZ
Lwiza akizungumza

Bozi akiimba akapela na waimbaji wake
Muimbaji wa Bozi Boziana
Muimbaji wa Bozi Boziana
Waimbaji wa Twanga wakiimba akapela

Wanenguaji wa Twanga wakicheza shoo ya akapela
Wakicheza

No comments